Alikiba Ft Lady Jay Dee Single Boy
RELATED: Alikiba Ft Chidi Benz – Far Away
Alikiba Ft Lady Jay Dee Single Boy Lyrics:
I am a single boy
Pombe ni kichwa kinauma,
kishalewa, anajipoza na maji
Na mimi hata muda sina,
nishamkanya, ninasikiza mamelody
Nishamwambia nini wewe,
kupenda sana utakuwa chizi
Hayanaga mjuzi yahwe,
kila mtu analilia mapenzi
Karibu chama la bachelor, ukinipenda, namaliza leo leo tu
Siku hizi kwa kudanganyana, mvulana msichana, ishakuwa poa poa tu
Hakunaga mapenzi yale, yakugandana ni zama za kale
Money on the table now, kinachofata ni mimi na wewe, na wewe